Rooney na Ndoto ya Kuifundisha Manchester United

Written by on January 13, 2023

 

“Manchester United na Everton ndio Klabu zilizo kwenye moyo wangu na zinanivutia sana, kuifundisha moja kati ya klabu hizi ni ndoto yangu .Kwa sasa naendelea kuongeza uzoefu ili nikipata nafasi nihudumu kwenye ubora zaidi”- Rooney

Je Manchester wanaweza kumuamini Rooney siku za usoni kama ilivyokuwa kwa Chelsea na Lampard ?

#cloudssports


Current track

Title

Artist