Mwijaku Aikataa Simba Mbele ya Rais wa Yanga

Written by on February 20, 2023

 

Hersi – “Mwenyezi Mungu ametuhusia kuishi kama ndege , unaamka asubuhi unaenda kutafuta ridhiki unarudi ukiwa na ridhki , Mwijaku ni mtafuta ridhiki

Mwijaku – “Mimi ni Mwananchi ,ukizaliwa tu ndani ya Nchi hii wewe ni Yanga, Ghalib (GSM ) aliniambia ni njaa inanisumbua”

Da Huu – Kwa hiyo wewe ni Yanga ?

Mwijaku – “Eenh kwani hujamsikia @alikamwe ? Ukizakiwa Tanzania tu wewe ni Yanga”

Namna mjadala ulivyokuwa kwenye LeoTena Mwijaku akiikana hadharani Simba na kusema yeye ni Mwananchi 😁

Cc @caamil_88 @mwijaku @dahuuofficial


Current track

Title

Artist