Kocha Mkuu Simba Apania Ubingwa Kimataifa

Written by on February 17, 2023

” Tunawaheshimu wapinzani wetu , Simba ni Timu kubwa na tumejiandaa vyema ili kupata ushindi, kupambania Nusu fainali na bila kipingamizi tunaweza kuwa mabingwa”

“Raja wanahistoria kubwa Afrika na Duniani kote nawajua vyema , lakini mpira ni matukio ya hapo kwa hapo (dakika 90′), mpango wangu ni kucheza vuzuri kwa sababu tunavipaji na Sisi kama Timu kubwa tuna jambo moja tu , kupata Ushindi “- Robertinho

Kocha mkuu wa Simba SC akizungumzia maandalizi yao na mipango yao kama Timu , kuelekea mchezo wa kesho wa Klabu bingwa Afrika #CAFCL dhidi ya Raja Club Athletic ya Morocco.

@cloudssports
#7bisha #CloudssdigitalUpdates

 


Current track

Title

Artist