Ronaldo, Neymar na Tevez Wamezaliwa Siku Moja

Written by on February 5, 2023

 

Tuambie tarehe yako ya kuzaliwa una-share na mtu gani maarufu ikiwa leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Wachezaji watatu ambao ni sababu ya Vijana wengi kuupenda mpira zama hizi.

Cristiano Ronaldo (Ureno) miaka 38 , magoli 820 kwenye mechi 1,148

Neymar (Brazil) miaka 31, magoli 369 mechi 613

Carlos Tevez (Argentina ) miaka 39 akiwa na magoli 268 mechi 719

#7bisha


Current track

Title

Artist