Mapumziko Simba Ipo Nyuma kwa Bao Moja

Written by on February 5, 2023

Dakika 45′ za mchezo wa Kimataifa wa kirafiki zimemalizika hapa uwanja wa Benjamin Mkapa Wenyeji Simba SC wapo nyuma kwa bao 1-0 mbele ya Al Hilal ya Sudan.

HT : Simba 0-1 Al Hilal

Umeuonaje mchezo kwa dakika 45′ za kwanza ?

#7bisha


Continue reading

Current track

Title

Artist