Wasanii mbalimbali wa Bongo Fleva kupitia akaunti zao za Instagram wameipongeza Redio Clouds kwa kutimiza miaka 20 tangu kuanzishwa kwake Desemba 2, 1999. Baadhi ya wasanii hao ni pamoja na Zuwena Mohammed 'Shilole', Nikki Wa Pili, Belle 9…
Ikiwa leo Desemba 2, 2019 Clouds FM imetimiza miaka 20 tangu kuanzishwa kwake, redio hiyo imehama studio tatu tofauti katika ofisi yake ya makao makuu iliyopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam.
Hivi karibuni redio hiyo imehamia kwenye studio…
Mkurugenzi wa Clouds media Group, Joseph Kusaga amesema Clouds Media Group ilileta wasanii wakubwa wa Kimataifa kwa ajili ya kupafomu kwenye jukwaa la Tigo Fiesta.
Amezungumza hayo leo Jumatatu Desemba 2, 2019 katika sherehe za kuadhimisha miaka…
Leo Desemba 2, 2019 Redio Clouds FM imetimiza miaka 20 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1999.
Mapema leo asubuhi kupitia kipindi cha Clouds 360 cha Clouds TV, Mkurugenzi wa Clouds Media Group alisema anawashukuru Watanzania kwa kuwa pamoja na redio…
Tarehe 2 ya Disemba 1999, kwenye chumba kidogo sana, tukawasha mitambo. Tanzania ikaitika, safari ikaanza.
Haikuwa rahisi, magumu tumepita: tumeungua moto mara 3 sio moja, tumepoteza majemedari wengi tulioanza nao safari, na mengine kibao.
Katika yote, Tunamshukuru Mungu,…